Tuesday, January 8, 2013

R.I.P BELOVED OMARI OMARI OF #kupata ni majaliwa


R.I.P Omari Omari

BREAKING NEWS: Msanii wa muziki aina ya mchiriku hapa nchini Tanzania Omari Omari amefariki dunia leo.

Akielezea kifo cha msanii huyo Mkubwa Fella ambaye ni jirani yake amesema marehemu Omari Omari alikuwa akisumbuliwa na ugonjwa wa kifua.

Marehemu Omari Omari aliwahi kutamba sana na wimbo wake wa mchiriku ulioitwa 'Kupata ni majaliwa'.
The late omari omari
 
Msanii wa muziki aina ya mchiriku hapa nchini Tanzania Omari Omari amefariki dunia leo. . Marehemu Omari Omari aliwahi kutamba sana na wimbo wake wa mchiriku ulioitwa 'Kupata ni majaliwa'. R.I.P Omari Omari

1 comment:

KUA FAN KUTOKA FACEBOOK, USIPITWE NA HABARI KUHUSU SQUEEZER.

LinkWithin

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...